Uteuzi: Kidato Cha 1
Published on: January 27, 2015 08:08 (EAT)
Kamati ya bunge ya elimu inamtaka mzazi yeyote mwenye malalamishi kuhusu uteuzi wa wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule za upili ayawasilishe kwa tume hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment