Vilabu maarufu mtaani Kilimani, Nairobi, vyafungwa

Vilabu vinne maarufu hapa jijini Nairobi vimefungwa usiku wa kuamkia leo kufuatia lalama kutoka kwa wakaazi wa mtaa wa Kilimani kuwa vilabu hivyo vina kelele mno. Aidha masharti makali yamewekwa kabla ya kufunguliwa tena kwa vituo hivyo vya burudani.

Tags:

NEMA Space Jiweke Tavern Kizza

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories