Vilabu maarufu mtaani Kilimani, Nairobi, vyafungwa
Published on: January 11, 2018 08:02 (EAT)
Vilabu vinne maarufu hapa jijini Nairobi vimefungwa usiku wa kuamkia leo kufuatia lalama kutoka kwa wakaazi wa mtaa wa Kilimani kuwa vilabu hivyo vina kelele mno. Aidha masharti makali yamewekwa kabla ya kufunguliwa tena kwa vituo hivyo vya burudani.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment