Vinara wa NASA wafanya mkutano wa kampeni hapa Nairobi

Vinara wa Nasa wamesisitiza kuwa lazima kufanyike mabadiliko ya kutosha katika tume ya uchaguzi IEBC kabla ya uchaguzi kurudiwa. Raila Odinga na Kalonzo musyoka ambao waliongoza mkutano wa hadhara eneo la Mathare waliwaonya Rais Kenyatta na naibu wake dhidi ya kuingilia mahakama ya juu.

Tags:

Mathare Nairobi NASA baba

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories