Viongozi kutoka bonde la ufa watafuta suluhu la usalama

Ukosefu wa usalama katika kaunti ya Laikipia ulikuwa kigezo cha kuwaleta pamoja viongozi themanini kutoka maeneo ya Laikipia, Isiolo, Samburu, Pokot Magharibi na Baringo kutafuta suluhu ya kudumu.

Tags:

baringo isiolo laikipia insecurity Nderitu Muriithi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories