Viongozi kutoka bonde la ufa watafuta suluhu la usalama
Published on: September 09, 2017 08:37 (EAT)
Ukosefu wa usalama katika kaunti ya Laikipia ulikuwa kigezo cha kuwaleta pamoja viongozi themanini kutoka maeneo ya Laikipia, Isiolo, Samburu, Pokot Magharibi na Baringo kutafuta suluhu ya kudumu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment