Vita dhidi ya mihadarati
Published on: February 13, 2017 09:03 (EAT)
Maafisa wa polisi wanawazuilia wamewakamata watu 9 kwa tuhuma za kuhusika na biashara ya ulanguzi wa mihadarati katika kaunti za mombasa na kilifi. Polisi walifanikiwa kuapata kilo 15 za heroine na shilingi milioni 18 kutoka kwa washukiwa hao. Mwanahabari wetu gatete njoroge na taarifa hiyo
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment