Viutravel gifts Dandora teacher 3-day vacation to Mombasa for his creativity

null

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Seven years into the Competency Based Curriculum (CBC), the education system has had its ups and downs, but one teacher Pius Mungai from Dandora Primary School in Nairobi is making it look easy, through his teaching style, where he uses songs and dance during lessons.

His creativity and popularity on social media platforms such as TikTok caught the eye of Viutravel that has gifted him a fully paid for three-day vacation to the Coastal city of Mombasa.

Mungai stated: “Nkiingia pale naingia katika ile level ya watoto na lile somo nafunza naskia nyimbo zinatiririka na wanafunzi wamezoea...”

“Nyimbo zinachangia kuelewa zaidi maanake kuna ule uzoefu wanapoimba hizo nyimbo na kufurahi kuna repetition, na wanaweza kukumbuka haswa wakati wa mtihani.”

Mwalimu Mungai uses his social media platforms to spread his creativity to the world.

“Walimu ni wengi sana katika nchi ya Kenya wamenipigia simu kunipa hongera sababu ya zile techniques zangu…wengine wameniambia nyimbo zangu wanazitumia katika shule zao na nafurahi sana,” he said.

The father of three is loved by pupils of Dandora Primary School; the head teacher too praises his style of teaching as it is in synchrony with CBC.

Jane Mwaura, the head teacher, stated: “Sio kama kitambo wanafunzi walikuwa wanaogopa walimu sababu ya kiboko… at least the pupils are very free with the teachers and that makes them to learn well.”

Mungai’s creativity and popularity on social media has earned him a fully paid 3-day holiday in Mombasa courtesy of Viutravel.

Lemmy Ole Mataiwua, General Manager, Viutravel said: “Maanake ni Fathers’ Day tukasema tukuje tumtunuku aweze kuwapa motisha baba wengine kwa kazi anayofanya shuleni...anafanya watoto wakuwe shuleni wakati wote kupitia mbinu yake ya densi.”

Mungai noted: “Nimepanga kuenda na kipenzi change...mke wangu...tutaenda na yeye ili tuweze kujivinjari.”

Tags:

TikTok Viutravel Pius Mungai Lemmy Ole Mataiwua

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.