Vurugu na uharibu wa mali washuhudiwa Homabay

Watu wanne wamejeruhiwa huku mali ya thamani isiyojulikana ikiharibiwa katika eneobunge la suba katika kaunti ya homabay baada ya wafuasi wa mbunge wa eneo hilo John Mbadi na aliyekuwa mkuu wa utumishi katika ofisi ya waziri mkuu wa zamani Raila Odinga, Caroli Omondi kuzozana.

 

Haya yanajiri huku tume ya kutetea haki za kibinadamu ikitaja maeneo kadhaa zikiwemo Nairobi na Kisumu kuwa hatari wakati huu wa uchaguzi wa mchijo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories