Waangalizi wa uchaguzi waandaa kikao na IEBC na wanahabari
Published on: August 06, 2017 08:17 (EAT)
Washikadau wa kuchunguza upigaji kura kutoka mataifa mbalimbali hivi leo walikutana na wanahabari pamoja na maafisa wa tume ya uchaguzi IEBC ambapo waliahidi uchaguzi utakua huru na haki. Wanachama wa IEBC walisema kuwa wako tayari na uchaguzi na vifaa vya uchaguzi viko tayari kutumika siku ya Jumanne.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment