Wafanyikazi wa umma ambao wanataka kugombea wapata nafuu
Published on: February 06, 2017 07:53 (EAT)
Wafanyikazi wa umma ambao wanataka kugombea viti mbali mbali katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti walitarajiwa kuwa wamejiuzulu kufikia usiku wa leo. Hata hivyo korti imewapa nafuu baada ya kuahirisha uamuzi wake kuhusu swala hilo hadi tarehe 14. Kesi hiyo ambayo imekuwa ikisikizwa katika mahakama mjini Kericho, inataka tume ya ya uchaguzi nchini iebc kuongeza muda wa wafanyikazi hao kujiuzulu. Stephen letoo na taarifa hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment