Wafuasi wa Gavana Ruto wataka Nkaissery awajibike
Published on: November 12, 2016 09:31 (EAT)
Wafuasi wa gavana wa kaunti ya bomet Isaac Ruto waliandamana hii leo na kumtaka waziri wa usalama wa ndani Joseph Nkaisery kuomba msamaha kwa niaba ya maafisa wa polisi waliomshambulia gavana huyo siku chache zilizopita.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment