Wafungwa 34 waambukizwa kipindupindu jela ya Kodiaga
Published on: July 25, 2017 08:01 (EAT)
Maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu sasa yanaonekana kuenea katika ameneo kadhaa huku wafungwa 34 wa jela ya kodiaga katika kaunti ya Kisumu wakiambukizwa. Haya ni huku mikahawa 17 katika kaunti ya Machakos ikifungwa kwa hofu kuwa haizingatii usafi unaohitajika na inahatarisha maambukizi ya ugonjwa huo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment