Wafungwa waliosamehewa na Rais leo waachiliwa huru
Published on: October 21, 2016 10:34 (EAT)
Kikundi cha pili wa wafungwa waliohukumiwa kwa makosa madogo madogo walichiliwa leo kufuatia msamaha wa rais. Rais aliagiza wafungwa hao 7, 000 wachiliwe hapo jana. Mwanahabari wetu Denis Otieno alitembea kwa baadhi ya jela hizi na kutuandalia taarifa ifuatayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment