Wagombea huru wafurika Westlands
Published on: May 08, 2017 08:29 (EAT)
Zaidi ya wagombezi 3000 wameidhinishwa kuwania nyadhifa mbali mbali kama wagombea huru huku makataa ya wawaniaji hao kuwasilisha stakabadhi kwa msajili wa vyama yakikamilika hii leo.
Wagombezi kumi wamejitosa ulingoni kuwania urais kwa tiketi hiyo huku wengine 27 wakiwania ugavana
Na kama anavyoarifu hassan mugambi, nembo za wagombezi zilisalia hadithi za kusisimua katika zoezi hilo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment