Wagonjwa wateseka katika hospitali za umma
Published on: July 01, 2017 08:01 (EAT)
Mtazamaji ni siku 26 tangu mgomo wa wauguzi kuanza kote nchini. Wagonjwa wameendelea kuhangaika katika vituo vya afya hali ambayo imesababisha wagonjwa kutafuta huduma katika hospitali za kibinafsi ila kwa taabu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment