Wahadhiri wamegoma mara 3 mwaka huu
Published on: November 03, 2017 08:46 (EAT)
Mgomo wa wahadhiri wa Vyuo vikuu sasa umeingia siku ya tatu huku viongozi wa chama cha wahadhiri (UASU) wakisistiza kuwa hawatarejea kazini hadi pale matakwa yao yatakapotimizwa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment