Waislamu wajiandaa kwa Siku Kuu ya Eid-Ul-Adha
Published on: August 31, 2017 09:28 (EAT)
Zaidi ya waumini millioni mbili wa dini ya kiislamu wanahudhuria ibada ya Hajj katika mji mtakatifu wa Makkah nchini Saudi Arabia.
Hii leo waumini hao wamekongamana pamoja katika Mlima wa Arafa , huku wale waliokosa kuhiji wakifunga.
Hajj ni nguzo ya tano ya kiislamu kulingana na mafundisho ya dini hiyo na hufuatwa na sikuukuu ya Eid Ul A
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment