Wajumbe MCA Wamuunga Mkono Kalonzo
Published on: October 27, 2014 07:58 (EAT)
Kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amepata kuungwa mkono na baadhi ya wanachama wa bunge za kaunti za Machakos na Makueni katika uamuzi aliochukuwa wa kuwaondoa kutoka nyadfa za viongozi wa waliowengi Francis Mutuku na Joshua Monga. Wanachama hao wanasisitiza kuwa lazima msimamo wa chama ufuatwe na yeyote anayekiri kuwa mwana Wiper.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment