Wakazi wa Ngomeni huko Kitui wanaishi na wasiwasi
Published on: September 01, 2016 08:21 (EAT)
Wanafunzi wanapojiandaa kuanza muhula wa tatu kote nchini, wale walioko katika eneo la Ngomeni kaunti ya Kitui bado hawana uhakika ni lini watarudi shuleni kwa masomo ya awamu ya tatu. Hii ni kufuatia msururu wa mashambulizi ambayo yamepelekea kuuawa kwa watu kadhaa katika eneo hilo na wengine kujeruhiwa vibaya. Na kama anvyoarifu mwanaahabari wetu Asasha Elizabeth, mashambulizi hayo yanadiwa kutekelezwa na wachungaji haramu wa mifugo wenye asili ya kisomali
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment