Wakazi wa Uasin Gishu wakemea wabunge kwa kuitisha mshahara mnono
Published on: August 25, 2017 09:04 (EAT)
Mjadala kuhusu kuongezwa au kupunguzwa kwa mishahara ya wabunge unazidi kutokota. Na kama anavyotufahamisha John Wanyama, Wakazi wa kaunti ya Uasin Gishu wanawaona wabunge kama walafi wasiojali maslahi ya mwananchi aliyewachagua.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment