Wakazi waanza kuwafuga punda badala ya ng’ombe, Kisumu

Akili ni nywele na kila mtu ana zake, ndivyo wasemao husema. Yaelekea kuwa wakazi kwenye mpaka wa Nandi, Kericho na Kisumu wamegundua mbinu mpya ya kupunguza wizi wa mifugo baina yao na majirani zao. Wakazi hao sasa wameamua kufuga punda badala ya ng’ombe. Wanaafiki kuwa hatua hiyo imechangia kupunguza wizi wa mifugo.

Tags:

kisumu Kericho Nandi punda ngómbe wizi wa mifugo

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories