Wakuu wa KMPDU wasimulia waliyoyaona gerezani

Viongozi saba wa madaktari waliofungwa gerezani kwa siku mbili walisimulia waliyopitia mikononi mwa polisi, wasimamizi wa magereza na wafungwa. Saba hao walifungwa katika magereza tofauti humu nchini kwa sababu ya kukaidi amri ya mahakama ya kusitisha mgomo. na kama anavyotuarifu simon kigamba kwa kauli moja saba hao wanakiri kwamba maisha gerezani si lelemama.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories