Wana-NASA waishambulia vikali IEBC

Viongozi wa Nasa waliambulia kufanya mkutano wa hadhara katika ukumbi wa kamkunji mtaani Kibra hapa jijini Nairobi wakati wenzao wa mrengo wa Jubilee walipokuwa wakiskia hotuba ya rais bungeni. Nasa wamesema kuwa hawakuhudhuria kikao hicho kwa sababu Rais Kenyatta hana mamlaka yoyote ya kuitisha kikao cha bunge na kuwa jukumu hilo ni la rais atakayechaguliwa na wananchi katika marudio ya uchaguzi.

Tags:

IEBC raila odinga Kibra NASA

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories