Wanachama wa KNUT wazua zogo wakitaka Sossion ajiuzulu
Published on: December 14, 2017 07:59 (EAT)
Vurumai zilizuka katika mkutano wa muungano wa walimu nchini KNUT katika kaunti ya Mombasa pale baadhi ya wanachama kutoka matawi mbalimbali walizusha vurugu wakimtaka katibu mkuu wa muungano huo Wilson Sossion kuondolewa. Wanachama hao wanasema Sossion anaegemea mrengo wa upinzani baada ya kuteuliwa kuwa mbunge na chama cha ODM.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment