Wanafunzi 8 waangamia kwenye mkasa wa moto shuleni Moi Girls

Wanafunzi wanane wa shule ya upili ya Moi Girls Nairobi wamefariki baada ya moto kuteketeza bweni lao usiku wa kuamkia leo. Moto huo ambao chanzo chake bado hakijabainika uliteketeza vibaya bweni la wanafunzi wa kidato cha kwanza. Shughuli za kubaini walioaga dunia sawa na kuchunguza tukio hilo zinaendelea.

Tags:

Moi Girls Fire burns down Moi Girls Dormitory

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories