Wanafunzi wa kidato cha 1-3 shuleni Moi Girls warudi kwa masomo

Wazazi na mwanafunzi wa kidato cha tatu na cha pili wa shule ya upili ya wasichana ya Moi walifika leo shuleni, baada ya shule hiyo kufungwa wiki mbili zilizopita kufuatia mkasa wa moto uliosababisha vifo vya wanafunzi 9.

Tags:

Moi Girls

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories