Wanafunzi wa kidato cha 4 Moi Girls warudi shuleni
Published on: September 08, 2017 08:06 (EAT)
Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya wasichana ya Moi hapa Nairobi hii leo wamerejea shuleni humo kuendelea na masomo baada ya likizo ya juma moja kufuatia mkasa wa moto wiki jana.
Wanafunzi hao walipata ushauri nasaha, na maombi maalum tayari kwa awamu ya mwisho ya masomo kabla ya mtihani wao wa mwisho wa KCSE.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment