Wanafunzi wafunga barabara ya Jogoo
Published on: June 14, 2017 09:26 (EAT)
Usafiri ulikatizwa katika barabara kuu ya Jogoo baada ya wanafunzi wa shule ya msingi ya St Annes kundamana wakilalamikia ongezeko la ajali katika barabara hiyo. Haya yanajiri baada ya mwanamume anayewasaidia wanafunzi hao kuvuka barabara kugongwa na gari hapo jana.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment