Wanaoendesha magari wakiwa walevi washikwa
Published on: December 09, 2017 08:49 (EAT)
Madereva zaidi ya 24 walikamatwa jana usiku kwa kuendesha magari wakiwa wamebugia mvinyo katika operesheni inayofanywa na mamlaka ya uchukuzi na usalama barabarani NTSA.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment