Wanariadha watoa msaada kwa wanajamii wasiojiwezi, Elgeyo Marakwet
Published on: August 29, 2017 09:05 (EAT)
Baadhi ya wanariadha tajika hapa nchini wameanza kushirikiana na wenzao wa kimataifa kuzisaidia jamii ambazo hazijiwezi na kuzikwamua kutoka lindi la umasikini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment