Wapiga mbizi wazidi kutafuta wahanga wa ajali ya ndege ziwani Nakuru

Matumaini ya kupata miili ya waathiriwa watatu wa ajali ya helikopta iliyoanguka katika ziwa la Nakuru wiki mbili zilizopota yalifufuliwa hii leo baada ya nguo na stakabadhi za mwathiriwa mmoja kupatikana. Haya yanajiri huku mazishi ya waathiriwa wawili ambao miili yao ilipatikana yakifanyika huko Bondo na Baringo.

Tags:

Lake nakuru chopper crash APOLLO MALOWA

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories