Washukiwa 6 wa ugaidi watiwa mbaroni Malindi
Published on: March 11, 2017 08:51 (EAT)
Washukiwa 6 wa ugaidi walikamatwa usiku wa jana katika operesheni iliyofanywa na maafisa wa wa kupambana na ugaidi ATPU katika eneo la shela mjini Malindi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment