Watoto 6 wafariki kutokana na Malaria huko Baringo
Published on: October 03, 2017 08:09 (EAT)
Watoto sita wameaga dunia katika kaunti ya Baringo kutokana na mlipuko wa ugojwa wa Malaria. Wazee wa jamii hiyo sasa wameambulia kufanya maombi ya kiasili kwani hospitali hazipeani huduma za afya kutokana na mgomo wa wauguzi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment