Watu 14 waangamia kwenye ajali Meru
Published on: February 11, 2017 08:43 (EAT)
Watu kumi na nne wameripotiwa kufariki kwenye ajali mbaya ya barabarani eneo la Kiengu katika barabara ya Maua na Garbatulla. Ajali hiyo iliyotokea jana jioni inadaiwa kusababishwa na lori lilipokosa mwelekeo na kugonga magari matano ya kibinafsi
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment