Watu 14 waangamia kwenye ajali Meru

Watu kumi na nne wameripotiwa kufariki kwenye  ajali mbaya ya barabarani  eneo la Kiengu  katika barabara ya Maua na Garbatulla.  Ajali hiyo iliyotokea jana jioni inadaiwa kusababishwa na lori lilipokosa mwelekeo na kugonga magari matano ya kibinafsi

Tags:

meru maua ajali barabarani

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories