Watu 19 wafariki kwenye ajali Soysambu, Nakuru

Mmiliki wa basi lililosababisha vifo vya watu ishirini katika eneo la Soysambu kaunti ya Nakuru amekamatwa. Hayo yanajiri huku dereva wa basi hilo akiwa angali anatafutwa na polisi wakati ambapo Rais Uhuru Kenyatta ameagiza uchunguzi kufanyika kubaini hasa kilichojiri usiku wa kuamkia leo.

Tags:

Nakuru. Soysambu ajali

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories