Watu 4 wafariki kwenye ajali barabarani Kisii
Published on: March 04, 2017 08:29 (EAT)
Watu wanne wamefariki hii leo kwenye ajali ya barabarani katika barabara kuu ya Kisii kuelekea Nyamira. Ajali hiyo iliyoshuhudiwa majira ya saa kumi na mbili asubuhi ilihusisha matatu aina ya Probox na gari dogo la kibinafsi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment