Watu 6 wa familia moja wachomeka hadi kufa Kiminini

Biwi la simanzi limetanda katika kijiji cha Toll Station eneo bunge la Kiminini baada ya familia ya watu sita kuangamia kwenye moto ulioteketeza nyumba yao. Na kama anavyotuarifu Collins Shitiabayi, inadaiwa kuwa mwanaume mwenye boma alikusudia kuiangamiza familia yake akiwemo mkewe na watoto wao watano ila mmoja akaponea chupuchupu na kuondoka na majeraha mabaya.

Tags:

house fire Kiminini janga la moto

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories