Watu 62 wamefariki kufikia sasa nchini Uganda
Published on: November 28, 2016 08:32 (EAT)
Zaidi ya watu 55 wameuawa wakiwemo maafisa 14 wa polisi katika eneo la kasese magharibi mwa taifa la Uganda, kufuatia mapigano yaliyojiri baada ya walinzi wa mfalme wa kitamaduni kukwaruzana na maafisa wa polisihaya yanajiri huku mwanahabari wa shirika la Ktn Joy Doreen Bira akikamatwa na maafisa wa polisi katika eneo hilo , kwa madai ya kufika asikofaa kwenda wakati wa oparesheni.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment