Watu 62 wamefariki kufikia sasa nchini Uganda

Zaidi ya watu 55 wameuawa wakiwemo maafisa 14 wa polisi katika eneo la kasese magharibi mwa taifa la  Uganda, kufuatia  mapigano yaliyojiri baada ya walinzi wa mfalme wa kitamaduni kukwaruzana na maafisa wa polisihaya yanajiri huku  mwanahabari wa shirika la  Ktn  Joy Doreen Bira akikamatwa na maafisa wa polisi katika eneo hilo , kwa madai ya kufika asikofaa kwenda wakati wa oparesheni.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories