Watu 7 waugua Kimeta baada ya kula ng’ombe mwenye ugonjwa huo
Published on: November 29, 2017 08:53 (EAT)
Watu saba wanaendelea kupata matibabu katika hospitali ya Longisa kaunti ya Bomet baada ya kuugua ugonjwa wa kimeta kwa kingereza anthrax baada ya kula nyama iliyokua na maradhi hayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment