Watu 9 kutoka familia moja wafariki katika ajali ya barabarani
Published on: January 10, 2018 08:05 (EAT)
Hata baada ya mikakati kuwekwa kudhibiti ajali za barabarani ikiwa ni pamoja na kupiga marufuku usafiri wa umma wakati wa usiku, Watu tisa wamepoteza maisha yao katika ajali nyingine ya barabarani usiku wa kuamkia leo. Inasemekana kwamba waathiriwa hao ambao ni wa familia moja walifariki baada ya matatu waliokuwa wakisafiria kupoteza mwelekeo eneo la Ndaragwa katika bara bara ya Nyeri kuelekea Nyahururu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment