Watu Tisa Wafariki Kufuatia Mvua Kubwa Narok

Watu Tisa Wafariki Kufuatia Mvua Kubwa Narok

Shughuli za kuwatafuta watu 9 ambao hadi sasa hawajapatikana bado zinaendelea mjini Narok baada ya mafuriko kusomba majengo mjini humo. Shughuli hizo zinaendelea huku zoezi la kusafisha mji huo zikingoa nanga likiongozwa na huduma ya vijana kwa taifa, nys. Na kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Pheona Kengah ni kwamba hakuna miili mingine iliyopatikana.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories