Watu zaidi ya 7 waangamia kwenye ajali katika barabara kuu ya Thika
Published on: September 06, 2017 08:18 (EAT)
Watu wanane wameripotiwa kufariki katika barabara kuu ya Thika kuja Nairobi kufuatia ajali mbaya majira ya jioni. Ajali hiyo imehusisha matatu, lori na magari madogo ya kibinafsi. Majeruhi wamekimbizwa katika hospitali za karibu na eneo la tukio.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment