Wauguzi kote nchini warejea kazini
Published on: November 03, 2017 08:43 (EAT)
Ni afueni kubwa kwa wagonjwa kote nchini baada ya wauguzi kusitisha mgomo wao na kurudi kazini. Hii ni baada ya mkutano baina ya wizara ya afya, baraza la magavana pamoja na muungano wa wauguzi nchini hapo jana kuzaa matunda. Hata hivyo, kuna baadhi ya kaunti ambazo wauguzi hawakuonekana kazini leo kwa sababu tofauti.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment