Wauguzi waandamana katika kaunti tofauti

Wauguzi nchini wamefanya maandamano kulalamikia hatua ya muungano wa magavana kutisha kuwapiga kalamu endapo wataendelea na mgomo wao. Na kama anavyoripoti mwanahabari wetu Makori Ongechi, maandamano hayo yameshuhudiwa katika maeneo tofauti nchini.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories