Wauguzi waendelea kususia kazi kote nchini

Wauguzi wanadai kuna njama ya kuwachosha na kususia mgomo wa wauguzi ulioingia siku yake ya nne. Kulingana na Maurice Opetu amabye ni naibu mweneykiti wa muungano wa wauguzi mkutano uliokuwa ufanyike mapema hii leo haukufanyika baada ya kuarifiwa kuwa waziri wa leba hakuwepo.

Tags:

mgomo wa wauguzi wauguzi mgomo wa madaktari

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories