Wawaniaji wa ugavana na ubunge wawalisha stakabadhi zao

Tukigeukia masuala ya uchaguzi mkuu, leo ilikuwa zamu ya wawaniaji wa ugavana na ubunge kuwasilisha vyeti vyao kwa maafisa wa tume ya uchaguzi IEBC, ili kuidhinishwa kugombea. Hata hivyo baadhi yao hawakudhinishwa kwa sababu ya kutotimiza matakwa ya IEBC

Tags:

IEBC Nyadhifa

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories