Wawili wakamatwa kwa kuzusha fujo Kisumu

Baraza la makanisa nchini NCCK leo hii limejitokeza kukashifu vikali rabsha zilizozuka hapo jana katika mkahawa wa Jumuia katika kaunti ya Kisumu. Machafuko hayo ambayo yalisababisha uharibifu wa mali ya thamani isiyojulikana pamoja na wizi wa mali, ulilenga kundi la wanawake wa dini waliokongamana ili kushauriana kuhusu wajibu wao katika kudumisha amani katika jamii.

Tags:

kisumu Jumuia hotel

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories