Wazazi wengi hawajui ni vitabu vipi watanunua

Huku mwaka mpya wa masomo ukikaribia, wazazi wameanza kufurika katika maduka ya jumla kununua vitabu na hata sare za shule. Na kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Denis Otieno, hali ya suitafahamu ingali ipo kufuatia gharama ya masomo na kubwa zaidi ni kuhusu vitabu wanavyopaswa kununua kufuatia ujio wa mtaala mpya.

Tags:

KCSE back to school

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories