Waziri wa afya afunga Hoteli 2 hapa Nairobi

Mailu amesema hoteli za Jacaranda na San Valencia zitasalia kufungwa mpaka pale wenyewe watakapozingatia vigezo vipya vya usafi. Hata hivyo, wasimamizi wa hoteli ya Jacaranda wanasema kazi zao zinaendelea kama kawaida kwani wanazingatia viwango vya juu vya usafi.
Haya yanajiri huku serikali ikitoa tembe za usafishaji maji zitakazosambazwa bila malipo katika mitaa ya mabanda.

Tags:

cholera cleopa mailu Jacaranda hotel San Valencia wizara ya afya

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories