Wengi wamepoteza mikono kwenye mzozo wa mmea huo, Igembe Kaskazini

Ingawa miraa ni mmea unaochukuliwa kama mshipa wa uhai kwa wenyeji wa Meru na viunga vyake, kwa upande mwingine miraa ni chanzo cha uhasama mkubwa kati ya watu wa maeneo hayo; uhasama ambao unakwenda mbali kiasi cha kusababisha baadhi ya watu kukatwa mikono na hata miguu hasa linapokuja suala la wizi wa mmea huo.

Tags:

meru Miraa igembe kukata mikono

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories