Yadaiwa mahawara wamejaa Kitale

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Ni msimu wa mavuno kaskazini mwa bonde la ufa ambapo mji wa Kitale umeshuhudia ongezeko la makahaba ambao wamekita kambi huko ili kufaidi pesa za wakulima baada ya mauzo ya mahindi. Kutoka kaunti ya Transnzoia, mwanahabari wetu Collins Shitiabayi ametuandalia taarifa hii.

Tags:

KITALE mahindi makahaba

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.